Wakenya kwenye mitandao ya kijamii: Bunge limekuwa paradiso ya walafi

Baadhi ya raia wa Kenya wanaotumia mitandao ya kijamii wameeleza kukasirishwa na hatua ya wabunge na maseneta ya kujiongezea posho za usafiri kupitia marekebisho ya marupurupu kwa kima cha jumula cha Sh bilioni 4.4.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *