Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani Imran Khan aliyefungwa jela, ameteuliwa kuwania Tuzo ya Amani ya Nobel kwa “kazi aliyofanya kuhusiana na haki za binadamu na demokrasia nchini Pakistan”. Hayo yameelezwa katika tamko lililotolewa na chama cha siasa cha Norway Partiet Sentrum.
Related Posts
Qalibaf: Utawala wa Kizayuni ni mtambo wa mauaji wa Marekani mtendajinai
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema: “Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mashine ya mauaji ya…
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema: “Utawala wa Kizayuni wa Israel ni mashine ya mauaji ya…
Mizizi ya ukoloni katika mzozo wa India na Pakistan
Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.…
Mzozo wa India na Pakistan ni moja ya migogoro sugu na ya muda mrefu zaidi katika eneo la Asia Kusini.…
Abrams M1A2 ingefanyaje dhidi ya T-90?
Abrams M1A2 ingefanyaje dhidi ya T-90? Kwanza kabisa, jinsi tank inatumiwa ni kama sio muhimu zaidi kuliko uwezo wa kiufundi…
Abrams M1A2 ingefanyaje dhidi ya T-90? Kwanza kabisa, jinsi tank inatumiwa ni kama sio muhimu zaidi kuliko uwezo wa kiufundi…