Waitifaki wa Trump: Maajenti wa Mossad wanajaribu kuvuruga mazungumzo ya Iran na Marekani

Vyombo vya habari na wafuasi wa karibu na Rais Donald Trump wa Marekani wamesema kuwa mawakala wa Mossad na wapenda vita wanaisukuma Marekani katika mzozo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *