Waislamu wauawa India katika maandamano ya kupinga Sheria ya Marekebisho ya Wakfu wa Kiislamu

Watu watatu, akiwamo mtoto mmoja, wameuawa na wengine zaidi ya 100 kukamatwa wakati wa maandamano yaliyofanyika katika jimbo la mashariki mwa India la West Bengal kupinga marekebisho ya Sheria ya Bodi za Wakfu wa Kiislamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *