Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa watu 200,000 wenye maradhi thakili wako hatarini kupoteza maisha kutokana na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kuvifunga vivuko, jambo ambalo linavuruga pia utendaji kazi wa hospitali katika Ukanda huo.
Related Posts
Qur’ani ndio sababu ya istiqama ya watu wa Gaza; Ujumbe mpya wa ukurasa wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Akaunti ya khamenei.ir katika mtandao wa kijamii wa X imechapisha ujumbe kwa lugha kadhaa za Ulaya kwa mnasaba wa kuadhimisha…
Akaunti ya khamenei.ir katika mtandao wa kijamii wa X imechapisha ujumbe kwa lugha kadhaa za Ulaya kwa mnasaba wa kuadhimisha…
Kundi la Waarabu UN lapinga kufurushwa Wapalestina Gaza
Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote…
Kundi la Waarabu katika Umoja wa Mataifa, pamoja na kundi la mabalozi wa Umoja wa Mataifa, wamepinga vikali mipango yoyote…
Umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa Iran na India katika nyanja mbalimbali
Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao…
Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika akaunti yake ya mtandao…