Wafanyakazi wawili wa ubalozi wa Israel wauawa kwa kupigwa risasi Washington

Wafanyakazi wawili wa ubalozi wa Israel wauawa kwa kupigwa risasi Washington

Wafanyakazi wawili wa ubalozi wa utawala haramu wa Israel mjini Washington wameuawa kwa kupigwa risasi jana jioni, nje ya Jumba la Makumbusho la Kiyahudi katika mji mkuu wa Marekani. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa na vyombo vya habari.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *