Wafahamu wapinzani wa Prof. Janabi wanaowania Ukurugenzi WHO

Prof Janabi na wenzake wanawania kuziba nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda hiyo, Dk. Faustine Ndugulile, waziri wa wa zamani wa afya Tanzania, aliyefariki ghafla Novemba 2024.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *