Waasi wa kundi la M23 la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linaloungwa mkono na Rwanda, ambalo limeteka mji mkubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo, Goma, wametangaza nia yao ya kupeleka vita katika mji mkuu, Kinshasa, huku Rais Félix Tshisekedi akitoa wito wa kuandaliwa jeshi kubwa kukabiliana na mashambulizi hayo.
Related Posts

Mashambulizi ya Ukraine Urusi: Urusi yawahamisha raia wake
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Makumi ya mateka wa Kipalestina waachiliwa huru, Hamas yakabidhi maiti
Makumi ya mateka wa Kipalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds wameachiliwa huru mapema…
Makumi ya mateka wa Kipalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds wameachiliwa huru mapema…
Maafisa wa Afrika wa Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu mzozo wa DRC
Maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika wametahadharisha kuhusu mzozo na machafuko yanayyoendelea katika Jamhuri ya…
Maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika wametahadharisha kuhusu mzozo na machafuko yanayyoendelea katika Jamhuri ya…