Waandamanaji Paris watoa wito wa kususia utawala katili wa Israel

Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala wa Israeli kutokana na vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina huko Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *