Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya mahakama ya Manhattan jijini New York nchini Marekani, wakitaka mwanaharakati wa Kipalestina, Mahmoud Khalil aachiliwe huru.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *