Vyombo vya usalama vya Israel vyaonya kuhusu kupanua vita Ukanda wa Gaza

Vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewatahadharisha viongozi wa utawala huo kwamba kupanuliwa oparsheni za kijeshi katika Ukanda wa Gaza kutapelekea kuuawa mateka wa Kizayuni wanaoshikkiliwa na wanamapambano wa Kipalestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *