Vyombo vya habari: Putin hatetereshwi na mashinikizo ya Marekani

Vyombo vya habari vya Marekani vimefichua kuwa licha ya mapendekezo yaliyotolewa kwa Putin na mjumbe maalumu wa Trump katika masuala ya Asia Magharibi, lakini bado Putin hayuko tayari kuacha msimamo wake kuhusu Ukraine.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *