Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *