Afisa mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa, hasara iliyopatikana vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vya kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, kutokana na vipigo vya Hizbullah wakati wa vita vya hivi karibuni inakadiriwa kuwa ni karibu shekeli bilioni 9 sawa na dola 2,515,582,638.
Related Posts
Iran: Miezi 15 ya jinai za wavamizi huko Ghaza isingewezekana bila ya msaada wa Marekani na Magharibi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, sambamba na kusitishwa mauaji ya kimbari huko Ghaza, jumuiya ya kimataifa…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, sambamba na kusitishwa mauaji ya kimbari huko Ghaza, jumuiya ya kimataifa…
Hasara za Kiev: hali katika Mkoa wa Kursk
Hasara za Kiev: hali katika Mkoa wa KurskWanajeshi wa Urusi walichukua vitengo na vifaa vya Kiukreni katika maeneo ya Loknya,…
Hasara za Kiev: hali katika Mkoa wa KurskWanajeshi wa Urusi walichukua vitengo na vifaa vya Kiukreni katika maeneo ya Loknya,…

Viongozi wa upinzani Tanzania waachiliwa kwa dhamana,
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…