Vipi Canada na Mexico zimeingia katika vita vya kibiashara na Marekani?

Baada ya Rais Donald Trump kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya Canada na Mexico kwa kuweka ushuru wa 25% kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka katika nchi hizo, Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau ametangaza ushuru wa 25% kwa bidhaa zilizoagizwa kutoka Merika kama hatua ya kulipiza kisasi.