Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefafanua vipaumbele na masuala muhimu zaidi katika siasa za nje za Iran katika kikao cha Doha na pia katika vikao vingine na viongozi mbalimbali wa nchi za eneo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *