Viongozi wa kanisa Kongo wakutana na waasi wa M23

Ujumbe wa taasisi mbili za kanisa nchini Jamhuri wa Kidemokrasi ya Kongo umekutana na waasi wa M23 mashariki mwa taifa hilo katika juhudi za hivi karibuni za kusaka amani na mazungumzo baada ya wiki kadhaa za mapigano.