Jeshi la Yemen limeitungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 ya Marekani wakati ilipokuwa inafanya mashambulizi ya kiuadui katika anga ya mkoa wa Hodeidah. Hiyo ni droni ya 17 kutunguliwa na Jeshi la Yemen kama sehemu ya vita vitakatifu vya Jihad vya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Related Posts

Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi umeacha raia wamekufa, watoto kujeruhiwa – gavana
Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi unaacha raia kufa, watoto kujeruhiwa – gavanaMakaazi ya mpakani yalipigwa makombora kabla ya wanajeshi kuvamia…
Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi unaacha raia kufa, watoto kujeruhiwa – gavanaMakaazi ya mpakani yalipigwa makombora kabla ya wanajeshi kuvamia…
Uingereza: Ghaza ndio mahali hatari zaidi duniani kwa wahudumu wa misaada ya kibinadamu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Lammy amezungumzia hali ya hatari inayowakabili wafanyakazi wa misaada katika Ukanda wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Lammy amezungumzia hali ya hatari inayowakabili wafanyakazi wa misaada katika Ukanda wa…

Maafisa wa jeshi la Israel wamepoteza matumaini ya kupata ushindi katika vita vya Ghaza
Aug 12, 2024 03:08 UTC Maafisa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamekiri kuwa, ushindi dhidi ya…
Aug 12, 2024 03:08 UTC Maafisa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamekiri kuwa, ushindi dhidi ya…