Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimeishambulia kwa mara ya pili manowari ya kubebea ndege za kivita ya Marekani ya USS Harry Truman na kuzima mashambulizi ya anga yaliyokuwa yamedhamiriwa kufanywa na Washington dhidi ya nchi hiyo.
Related Posts
UN yataka kuheshimiwa kikamilifu makubaliano ya kusimamisha vita Ghaza
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote kuheshimu kikamilifu makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza. Post…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote kuheshimu kikamilifu makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza. Post…
Watu 3 watiwa mbaroni Zambia kwa kueneza madai ya uongo kuhusu afya ya Rais
Vyombo vya usalama nchini Zambia vimetangaza kuwa watu watatu wametiwa mbaroni kwa kueneza taarifa za uongo kuhusu hali ya afya…
Vyombo vya usalama nchini Zambia vimetangaza kuwa watu watatu wametiwa mbaroni kwa kueneza taarifa za uongo kuhusu hali ya afya…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Mpango wa kuanzisha serikali nyingine mezaliwa ukiwa maiti
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema mpango wa makundi ya upinzani yakiongozwa na Rapid Support Forces…
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema mpango wa makundi ya upinzani yakiongozwa na Rapid Support Forces…