Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) vimeanza mazoezi makubwa zaidi ya kijeshi kuwahi kushuhudiwa vya kujiweka tayari kwa vita katika eneo la kusini-magharibi mwa nchi, ikiwa ni sehemu ya hatua za kuinua kiwango cha utayari wake wa kivita wa kukabiliana na vitisho vinavyoweza kutolewa na maadui.
Related Posts
Nigeria yaanza uchunguzi wa NGOs zilizofadhiliwa na USAID zinazodaiwa kuunga mkono ugaidi
Wakaguzi wa Nigeria wameanzisha uchunguzi kuhusu shughuli za zaidi ya mashirika kumi yasiyo ya kiserikali, NGO, huku kukiwa na madai…
Wakaguzi wa Nigeria wameanzisha uchunguzi kuhusu shughuli za zaidi ya mashirika kumi yasiyo ya kiserikali, NGO, huku kukiwa na madai…
ICRC: Tumeshtushwa na jinsi Israel inavyofanya jinai bila ya kiwewe
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limesema kuwa, limeshtushwa na jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel unavyofanya jinai za…
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limesema kuwa, limeshtushwa na jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel unavyofanya jinai za…
Qaarii wa kimataifa wa Iran asoma kisomo cha Qur’ani kwenye mikesha ya Lailatul-Qadr, China
Kwa ushirikiano wa Ubalozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji wa Guangzhou na Ofisi ya Mwambata wa…
Kwa ushirikiano wa Ubalozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji wa Guangzhou na Ofisi ya Mwambata wa…