Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo

Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo

Serikali za nchi za Afrika zimehimizwa kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula na kufungua mustakbali wa maendeleo endelevu ya kiuchumi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *