US yaendelea kuwawekea mbinyo wanachuo wanaoitetea Palestina

Chuo Kikuu cha Columbia nchini Marekani kimewasimamisha masomo zaidi ya wanafunzi 65 kufuatia maandamano yao ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ambayo yalitokea kwenye Maktaba ya Butler.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *