Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa radiamali yake kwa vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusitishwa shughuli za shirika hilo la Umoja wa Mataifa huko Baitul Muqaddas Mashariki.
Related Posts
Azimio la Siku ya Kimataifa ya Quds: Tutakabiliana na uhasama wa Marekani na kuihami Palestina
Washiriki katika maandamano ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds wamesisitiza udharura wa kukabiliana vikali na uhasama wa Marekani…
Hali ya hatari Myanmar yarefushwa, Waislamu wa Rohingya wanaendelea kuteseka
Utawala wa kijeshi wa Myanmar umerefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi sita zaidi, siku moja kabla ya kuadhimisha…
Kwa nini Trump anapinga sarafu moja ya BRICS?
Donald Trump amezitishia nchi wanachama wa kundi la BRICS na kuandika katika mtandao wake makhususi wa kijamii wa Truth Social…