UNICEF: Watoto wa Gaza wanazidi kujongewa na njaa, maradhi na mauti

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeonya kwamba watoto katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hatari kubwa ya njaa, magonjwa na vifo, miezi miwili baada ya kukabiliwa na mzingiro wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *