Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limesema, maisha ya watoto na vijana kwa muda mrefu yameunganishwa na intaneti na mitandao ya kijamii na kadri teknolojia inavyoendelea kubadilika kwa kasi jambo hili linaongezeka na kuenea zaidi na kuruhusu watoto kufikia ulimwengu wa habari, kujifunza, kushirikiana, burudani na zaidi inaweza kuwa chanya lakini wakati mwingine kuna hatari.
Related Posts
TAZAMA ndege zisizo na rubani za Urusi zikiondoa howitzer iliyotengenezwa Marekani
TAZAMA ndege zisizo na rubani za Urusi zikiondoa howitzer iliyotengenezwa MarekaniMabomu ya kuzurura ya Lancet yaliharibu Paladin ya Ukraine М109…
Makumi wauawa na kujeruhiwa baada ya askari wa Israel kuwafyatulia risasi raia kusini mwa Lebanon
Vikosi vya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimewafyatulia risasi raia wa Lebanon wanaorejea makwao katika miji ya kusini…
Marekani na China zinashiriki katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi – vyombo vya habari
Marekani na China zinashiriki katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi – vyombo vya habariNchi hizo mbili zimetuma wanajeshi kushiriki katika…