UN yataka kila mwenye ushawishi azuie mashambulizi ya Israel huko Ghaza

Tom Fletcher, mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya kibinadamu ameonesha hisia zake kuhusu taarifa za kutisha za mashambulizi mabaya ya Israel dhidi ya Ghaza, akisema kuwa, kila mwenye ushawishi ana wajibu wa kufanya kadiri awezavyo kukomesha jambo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *