UN yaonya tena: Sudan Kusini inakaribia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe

Umoja wa Mataifa umeonya kuwa Sudan Kusini iko kwenye ukingo wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huku ghasia kati ya pande zinazohasimiana zikiongezeka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *