UN: Wakati umefika wa kuunda serikali ya shirikishi nchini Syria

Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesisitiza kuwa, wakati umefika sasa wa kuchukua hatua za dhati na za kijasiri za kuunda serikali ya mpito na ya kuaminika nchini Syria.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *