UN: Vifo vya wahamiaji vilivunja rekodi mwaka jana, karibu 9,000 wamekufa

Takwimu mpya zilizotolewa na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) zinaonyesha kuwa, karibu watu 9,000 walikufa mwaka jana wakijaribu kuvuka mipaka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *