UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur

Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu 540 wameuawa huko Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan katika muda wa wiki tatu zilizopita, huku wanajeshi wakizidisha opereseheni zao za kuukomboa mji wa el-Fasher, makao makuu ya jimbo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *