Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu 540 wameuawa huko Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan katika muda wa wiki tatu zilizopita, huku wanajeshi wakizidisha opereseheni zao za kuukomboa mji wa el-Fasher, makao makuu ya jimbo hilo.
Related Posts
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu anaonya juu ya ‘hatua za kujihami’ za Iran dhidi ya IAEA
Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kwamba vitisho dhidi ya Iran vinaweza kusababisha kusimamishwa…
Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kwamba vitisho dhidi ya Iran vinaweza kusababisha kusimamishwa…
URUSI INASEMA NINI?
Je! roketi za masafa marefu zinaweza kuleta mabadiliko makubwa kwa Ukraine? Makombora ya masafa marefu yanaweza kuipa Ukraine uwezo mpya…
Je! roketi za masafa marefu zinaweza kuleta mabadiliko makubwa kwa Ukraine? Makombora ya masafa marefu yanaweza kuipa Ukraine uwezo mpya…
Khatibu wa msikiti wa al-Aqswa aonya kuhusu siasa hatarishi za wavamizi
Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqswa ameonya kuhusiana na kushadidi mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al-Aqswa na Baytul Muqaddas,…
Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqswa ameonya kuhusiana na kushadidi mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya Msikiti wa Al-Aqswa na Baytul Muqaddas,…