UN: Theluthi moja ya Wasudani ni wakimbizi, hali ya wanaokimbia kambi za Darfur ni janga tupu

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limefichua kuwa mtu mmoja kati ya watatu nchini Sudan amelazimika kuwa mkimbizi, huku mamia ya watu wanaokimbia kambi za Darfur wakikabiliwa na hali mbaya kufuatia mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *