Kamishn Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi mabaya ya hivi karibuni ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko eneo la Darfur Kaskazini nchini Sudan akisema kuwa, mashambulizi hayo yanaashiria kushindwa kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za maana licha ya maonyo ya mara kwa mara.
Related Posts

Biden anakiri ‘kuwasiliana moja kwa moja’ na Ukraine juu ya uvamizi wa Urusi
Biden anakiri ‘kuwasiliana moja kwa moja’ na Ukraine juu ya uvamizi wa UrusiKiongozi wa Marekani alitoa matamshi yake ya kwanza…
Biden anakiri ‘kuwasiliana moja kwa moja’ na Ukraine juu ya uvamizi wa UrusiKiongozi wa Marekani alitoa matamshi yake ya kwanza…
Pezeshkian: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Sudan
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na…
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kwa mikono miwili kurejeshwa kwa uhusiano wa nchi hii na…
Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano
Muungano kwa jina la The Alliance Fleuve Congo; muungano wa waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaolijumuisha pia…
Muungano kwa jina la The Alliance Fleuve Congo; muungano wa waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaolijumuisha pia…