Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limesema kuwa uvamizi wa Israel katika Ukingo wa Magharibi umesababisha “uhamishaji mkubwa wa watu” ambao haujawahi kushuhudiwa tangu vita vya mwaka 1967, vilivyosababisha kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.
Related Posts
Matokeo muhimu ya uchunguzi: Kizazi Z kinachukia bidhaa za Israel
Uchunguzi uliofanywa kkatika maeneo mbalimbali na matokeo ya kura ya maoni vinaonyesha kuwa bidhaa zinazotengenezwa na Israel zina hadhi ya…
Urusi inafuatilia matukio ya Palestina licha ya upinzani wake maalum wa kijeshi – Putin
Urusi inafuatilia matukio ya Palestina licha ya upinzani wake maalum wa kijeshi – Putin“Mheshimiwa Rais, marafiki wapendwa, niruhusu, kwanza kabisa,…
Madai yasiyo na msingi ya Trump na sisitizo lake la kuendeleza sera ya mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran
Akirejelea siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani…