Umoja wa Mataifa umesema wanawake na watoto wa Kipalestina ndio pekee waliouawa katika mashambulizi yapatayo 36 ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukada wa Ghaza tangu katikati ya mwezi Machi na kuonya kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Israel yanahatarisha “kuendelea kuwepo Wapalestina kama jamii”.
Related Posts
Iran yalaani shambulizi la kinyama dhidi ya raia wa Pakistan
Ubalozi wa Jamhur ya Kiislamu ya Iran nchini Pakistan umelaani shambulio la woga dhidi ya kundi la raia wa Pakistan…
Ubalozi wa Jamhur ya Kiislamu ya Iran nchini Pakistan umelaani shambulio la woga dhidi ya kundi la raia wa Pakistan…
UN: Hofu ya magonjwa ya miripuko yatanda katika mji wa Goma unaokaliwa kwa mabavu
Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa katika mji wa Goma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) unaokaliwa kwa mabavu,…
Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa katika mji wa Goma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) unaokaliwa kwa mabavu,…
Iran yazindua satalaiti 3 za Navak-1, Pars-1 iliyoboreshwa, na Pars-2
Iran imezindua satalaiti tatu mpya wakati wa hafla iliyofanyika leo Jumapili kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za…
Iran imezindua satalaiti tatu mpya wakati wa hafla iliyofanyika leo Jumapili kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za…