Waasi wa M23 wanaodhibiti miji ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefunga kwa nguvu kambi za makazi za raia na kuwalazimisha zaidi ya watu 110,000 kuhama makazi yao katika siku za hivi karibuni. Haya yameelezwa na Umoja wa Mataifa.
Related Posts
UNICEF yapokea dola milioni 1.5 za kuwasaidia watoto wakimbizi wa Sudan walioko Libya
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) lilisema jana kwamba limepokea msaada wa dola milioni 1.5 kutoka kwa…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) lilisema jana kwamba limepokea msaada wa dola milioni 1.5 kutoka kwa…

Marekani kuiwekea vikwazo Iran kwa madai ya usafirishaji wa makombora
Marekani kuiwekea vikwazo Iran kwa madai ya usafirishaji wa makomboraTehran imekana kuipatia Moscow makombora ya masafa mafupiMarekani itaiwekea Iran vikwazo…
Marekani kuiwekea vikwazo Iran kwa madai ya usafirishaji wa makomboraTehran imekana kuipatia Moscow makombora ya masafa mafupiMarekani itaiwekea Iran vikwazo…
Taarifa ya UN: Israel imetenda Mauaji ya Kimbari Gaza
Ripoti maalum ya Tume Huru ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umetekeleza mauaji…
Ripoti maalum ya Tume Huru ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umetekeleza mauaji…