UN inaonya viongozi wa Sudan Kusini kuwa wanahatarisha kuvunjika kwa makubaliano ya mpango wa amani

Uchunguzi wa ripoti hiyo ulibaini kuwa mnamo mwaka 2024 mifumo ile ile ya ukiukwaji mkubwa katika maeneo yale yale, mara nyingi inahusisha ofisi zile zile za umma na za kijeshi.