Umuhimu wa safari ya Araghchi nchini Pakistan

Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alifanya safari mjini Islamabad na kukutana na kushauriana na viongozi wa Pakistan kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kubadilishana mawazo kuhusu matukio ya kieneo na kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *