Umoja wa Mataifa umetoa tahadhari ukisema kuwa kuna njia ndefu ya kuyajenga upya maisha ya watu wa Ghaza hata baada ya kuanza kumiminika huko misaada ya kibinadamu baada ya kufikiwa makubaliano ya kusimamisha vita kati ya HAMAS na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Related Posts
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds
Mnamo mwaka 1979, mara tu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini alitangaza Ijumaa ya mwisho…
Makundi ya Muqawama yalaani vikali jinai mpya za Marekani nchini Yemen
Harakati mbalimbali za Muqawama zimelaani vikali kwa kauli moja jinai zinazoendelea kufanywa na Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen, katika…
UNHCR: Tulihudumia makumi ya maelfu ya wakimbizi mwaka 2024 nchini Libya
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema kwenye ripoti yake ya karibuni kabisa kwamba, mwaka uliopita wa…