Umoja wa Mataifa waonya kuhusu mpango hatari wa Israel dhidi ya watu wa Gaza

Umoja wa Mataifa waonya kuhusu mpango hatari wa Israel dhidi ya watu wa Gaza

Umoja wa Mataifa umetoa taarifa na kuonya kwamba mpango mpya wa Israel wa kusambaza misaada huko Gaza umekuwa chombo cha ulaghai na kuwahamisha wakazi wa eneo hilo, na ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa za kibinadamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *