Umoja wa Afrika wapigia debe Akili Mnemba kuleta mabadiliko

Katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Akili Mnemba (Artificial Intelligence-AI-)barani Afrika, Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf, ametangaza dhamira ya AU kuiweka Afrika kama kinara katika mapinduzi ya kimataifa ya akili mnemba.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *