Umoja wa Afrika wamemteua Rais wa Togo kupatanisha mgogoro wa DRC

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco, amemteua Rais wa Togo, Faure Gnassingbe, kuwa mpatanishi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Rwanda, na waasi wa M23.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *