Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Iran amesema bara Ulaya linapoteza itibari ya kimaadili kwa kuutetea utawala wa Kizayuni wa Israel na kwa msingi huo itajipata katika upande mbaya wa historia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *