Kufuatia kusitishwa mapigano katika maeneo ya kusini mwa Lebanon na Ukanda wa Ghaza, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeanzisha operesheni mpya katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Operesheni hiyo ambayo malengo yake halisi hayajatajwa, imezusha wasiwasi kutokana na kuendelea kwake sambamba na tangazo lililotolewa na Trump la kutaka Wapalestina wa Ghaza wahamishiwe katika nchi za Misri na Jordan.
Related Posts

Waziri wa Ulinzi wa Israel anasema Kikosi cha Hamas cha Rafah kilishindwa
Waziri wa Ulinzi wa Israel anasema Kikosi cha Hamas cha Rafah kilishindwa “Kikosi cha Hamas’ Rafah kimeshindwa, na vichuguu 150…
Waziri wa Ulinzi wa Israel anasema Kikosi cha Hamas cha Rafah kilishindwa “Kikosi cha Hamas’ Rafah kimeshindwa, na vichuguu 150…
Wanajeshi wa Ufaransa kuondoka pia Senegal
Serikali ya Ufaransa inapanga kufunga kambi yake ya kijeshi nchini Senegal baada ya kuwaondoa wanajeshi wake kutoka Senegal. Post Views:…
Serikali ya Ufaransa inapanga kufunga kambi yake ya kijeshi nchini Senegal baada ya kuwaondoa wanajeshi wake kutoka Senegal. Post Views:…
Tehran yalaani tishio la Trump la kutumia mabavu dhidi ya Iran
Iran imelaani vikali tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutumia nguvu dhidi ya nchi hiyo na kusema linatia…
Iran imelaani vikali tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutumia nguvu dhidi ya nchi hiyo na kusema linatia…