Gazeti moja la lugha ya Kiebrania limefichua kwamba jeshi la Israel lilitoa taarifa za uongo kuhusu kuwepo handaki la Hamas chini ya “Hospitali ya Ulaya” (The European Hospital) huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Ghaza, na kwamba hospitali hiyo ililengwa na mashambulizi makubwa ya mabomu mara mbili ndani ya saa 24 bila ya kuweko handaki lolote la HAMAS.
Related Posts

Vikosi vya Ukraine ‘vyajisalimisha’ katika eneo la mpaka wa Urusi (VIDEO)
Vikosi vya Ukraine ‘vyajisalimisha’ katika eneo la mpaka wa Urusi (VIDEO) Kikosi kizima cha vikosi vya Kiev kimeripotiwa kuweka silaha…
Vikosi vya Ukraine ‘vyajisalimisha’ katika eneo la mpaka wa Urusi (VIDEO) Kikosi kizima cha vikosi vya Kiev kimeripotiwa kuweka silaha…
Hamas yafananisha vitendo vya Israel Gaza na mauaji ya kimbari ya Rwanda
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imefananisha vitendo vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imefananisha vitendo vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na…
Watetezi wa haki za binadamu wa Marekani wafungua kesi kusitisha vikwazo vya Trump dhidi ya maafisa wa ICC
Watetezi wa haki za binadamu wa Marekani wamewasilisha kesi mahakamani ili kusimamisha amri ya utendaji ya Rais Donald Trump ya…
Watetezi wa haki za binadamu wa Marekani wamewasilisha kesi mahakamani ili kusimamisha amri ya utendaji ya Rais Donald Trump ya…