Katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika nchini Nigeria Ijumaa kwa kushirikisha mamia ya Waislamu na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo – kwa lengo la kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina na kulaani uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel– maafisa wa polisi wa Nigeria walifyatua risasi dhidi ya waandamanaji. Tukio hilo lilisababisha waandamanaji wasiopungua 18 kuuawa shahidi, wengine kujeruhiwa, na wengi kukamatwa.
Related Posts
Zaidi ya askari 1,300 wa DRC wahamishwa kutoka Goma
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya…
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya…

Israel na Hezbollah zafanya mashambulizi ya kujibizana huku mvutano ukizidi kupamba moto
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Iran: Vikwazo vya Marekani ni ishara ya uhasama, diplomasia yao si ya kweli
Iran imelaani vikali msururu wa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani, ikivitaja kama vitendo vya uadui dhidi ya watu wa Iran…
Iran imelaani vikali msururu wa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani, ikivitaja kama vitendo vya uadui dhidi ya watu wa Iran…