Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa ujumbe wa Sikukuu ya Idul Fitr kwa kuyataka mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kuongeza juhudi na uungaji mkono kwa Wapalestina ili kukomesha jinai za Israel na kuondolewa mzingiro kwenye Ukanda wa Ghaza.
Related Posts
China yasema inaunga mkono Misri dhidi ya ‘ubabe’ wa Trump
China imeonyesha uungaji mkono kwa mamlaka na maslahi ya Misri ikiwemo juu ya Mfereji wa Suez kufuatia matamshi ya ubabe…
China imeonyesha uungaji mkono kwa mamlaka na maslahi ya Misri ikiwemo juu ya Mfereji wa Suez kufuatia matamshi ya ubabe…
Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno…
Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno…
Lieberman: Kamwe hatuwezi kupata amani Israel
Mkuu wa chama cha “Yisrael Beiteinu” amesema kuwa, maadamu utawala unafanya maafa uko madarakani huko Israel, walowezi wa Kizayuni kamwe…
Mkuu wa chama cha “Yisrael Beiteinu” amesema kuwa, maadamu utawala unafanya maafa uko madarakani huko Israel, walowezi wa Kizayuni kamwe…