Ubelgiji nayo yatia ulimi puani, yasema: Hatutamkamata Netanyahu

Ubelgiji nayo pia imetangaza kuwa haitotii amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kutaka waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe na kukabidhiwa kwa mahakama hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *