Tunayofahamu kuhusu mkataba wa kisiasa kati ya Rais Ruto na Raila

Rais William Ruto na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kiongozi mkongwe wa upinzani wametia saini mkataba wa kufanya kazi baada ya wiki kadhaa za mashauriano nchini kote kuhusu mkataba huo wa kisiasa.