Trump atoa shutuma kwa kiongozi wa Afrika Kusini kwa madai ya Waafrikana ‘kunyanyaswa’

Mkutano uliokusudiwa kutuliza mvutano kati ya Marekani na Afrika Kusini badala yake mvutano uliongezeka huku Rais Donald Trump akimweka mwenzake kwenye utetezi kwa madai kwamba wakulima wa kizungu katika taifa lake walikuwa “wakinyanyaswa” na kuuawa.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *