Trump asisitiza tena kuigeuza Canada jimbo la 51 na kuzipora Greenland na Mfereji wa Panama

Rais Donald Trump wa Marekani amesisitiza tena juu ya nia yake ya kuiunganisha Canada na Marekani na kuifanya jimbo la 51 la nchi hiyo, pamoja na azma yake ya kulinyakua eneo la Greenland na Mfereji wa Panama.